Taarifa za hivi karibuni
Updating...

Habari za hivi karibuni na za sasa kuhusu Siku ya Mazingira Duniani 2024

 

Kampeni ya Siku ya Mazingira Duniani mwaka wa 2024 ilizinduliwa mjini Riyadh

UNEP Deputy Executive Director Elizabeth Mrema's speech
Picha: UNEP

"Mwaka huu, Siku ya Mazingira Duniani itaelekeza macho ya dunia kwa changamoto tatu hatari, ingawa mara nyingi hazizingatiwi: uharibifu wa ardhi, kuenea kwa majangwa na ukame," Elizabeth Mrema, Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa. Alizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya mwaka huu ya Siku ya Mazingira Duniani (WED) mjini Riyadh, mji mkuu wa Ufalme wa Saudi Arabia. "Kipaumbele chetu sasa lazima kitolewe kwa uboreshaji wa mifumo ya ekolojia - kupanda upya misitu yetu, kutia maji upya kwenye mabwawa yetu, kuhuisha udongo wetu," Mrema aliongezea.